Joshua 17:14

Kabila La Yosefu Lakataa

14 aWatu wa Yosefu wakamwambia Yoshua, “Kwa nini umetupa sisi mgawo mmoja tu na sehemu moja tu kuwa urithi? Sisi tu watu wengi sana, na Bwana ametubariki kwa wingi.”

Copyright information for SwhNEN